MSANII MATUMAINI BADO HALI YAKE TETE, ASHINDWA KULETWA JIJINI DAR

Waigizaji zaidi ya 30 ambao jumapili february 3 2013 walijitokeza kumpokea mwigizaji mwenzao mgonjwa Matumaini, walirudi mikono mitupu baada ya mwigizaji huyo aliekua anatarajiwa kuwasili Tanzania akitokea Msumbiji kushindwa kufanya hivyo chanzo kikiwa ni hati yake ya kusafiria ambayo akiwa uwanja wa ndege aliagizwa kuishughulikia kwenye ofisi za uhamiaji ambazo zipo mbali na uwanja wa ndege.
.
Matumaini amekua Msumbiji kwa wiki kadhaa alikokwenda kufanya show lakini muda mfupi baadae mambo yakageuka na kuanza kuumwa miguu, mwigizaji huyu anatarajiwa kuwasili Dar jumanne au jumatano na tayari umoja wa waigizaji umepanga kumpeleka hospitalini moja kwa moja.
Waigizaji waliokwenda kumpokea.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo