HAPA NDIPO ALIPOUAWA PADRE MUSHI LEO ASUBUHI, TAZAMA PICHA

Ndani ya gari la Padre Mushi, alipopigiwa risasi na kutapakaa damu
Kiti cha kushoto mwa gari alilokuwa nalo marehemu, kikiwa na damu mara baada ya kifo cha Padre Mushi
 
 Gari alilouawa padri Mushi leo asubuhi
Wananchi wakiwa hospitali ya Mnazi mmoja Zanzibar ulipo mwili wa marehemu padri Mushi

Tunaomba radhi picha hizi hazina ubora mzuri, lakini tumelazimika kuziweka ili kuonesha angalau hali halisi, picha nzuri zitakujia muda si mrefu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo