BREAKING NEWZ: NEY WA MITEGO APATA AJALI MBAYA


Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ney wa mitego amepata ajali mbaya akiwa na gari lake aina ya Alteza 

Akizungumza na Ney alisema... 
"Ilikua saa tisa na nusu usiku nilikua natokea masaki kuwachukua washkaji zangu ndo nilikua narudi home LorI la mchanga liliingia nyuma ya gari langu pale kwenye mataa ya Maisha Club kwenda moroco na kwa bahati mbaya jamaa akakimbia kwasababu nahisi alidhani ameoua maana gari alienda kuingia kwenye mtaro...

Nashukuru mungu mimi mzima ila mguu tu ndo umeshtuka kidogo"......…





SOURCE:TEEN TZ


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo