WAZIRI MKUU,WAZIRI WA MAMBO YA NDANI, IGP WAWASILI MTWARA


Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda

Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mh EmmanuelNchimbi
Mkuu wa jeshi la polisi Said Mwema

Muda mchache uliopita  Waziri mkuu Mheshimiwa Mizengo PK Pinda, Waziri wa Mambo ya Ndani Mheshimiwa Emmanuel Nchimbi na IGP Saidi Mwema Wamewasili Mtwara.

Kuwasili kwa viongozi hao mkoani Mtwara kunatokana na vurugu zilizozuka juzi Mtwara mjini na jana kuhamia wilaya ya Masasi ambapo watu kadhaa wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa sambamba na uharibifu mkubwa wa mali na Sasa wapo Ikulu ndogo wakiendelea na Mazungumzo na wenyeji wao


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo