| Mgonjwa wa Kipindupindu akiwa amelazwa chini ya mti katika kambi ya Muze |
| Mhudumu wa kambi ya wagonjwa wa Kipindupindu akitoa huduma chini ya mti |
| Mkuu wa wilaya Moshi Chang'a akiwa na Mbunge wa Kwela Ignas Malocha mwenye suti nyeupe (katikati) wakimhoji Afisa Afya wa kata ya Muze |