WAFANYAKAZI OFISI YA WAZIRI MKUU WATOA MAONI YAO KUHUSU KATIBA MPYA


  Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Bw. Jumanne Sagini (aliyesimama) akiwasilisha maoni ya wafanyakazi wa Ofisi hiyo kuhusu Katiba Mpya kwa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano baina yao uliofanyika katika Ofisi za Tume jijini Dar es Salaam jana (jumanne januari 15, 2013)
 
Mjumbe wa Sekretarieti ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. Solanus Nyimbi (kushoto) akitoa maelezo kuhusu mfumo wa uchambuzi wa maoni ya wanachi kwa wafanyakazi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)wakiongozwa na Kaimu Katibu Mkuu, Bw. Jamanne Sagini (kulia) wakati waliotembelea ofisi za Tume hiyo jana (jumanne januari 15, 2013).
 
Mjumbe wa Sekretarieti ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bi. Nenelwa Mwihambi (kulia) akitoa maelezo kuhusu mfumo wa uchambuzi wa maoni ya wanachi kwa wafanyakazi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)wakiongozwa na Kaimu Katibu Mkuu, Bw. Jamanne Sagini (Kaunda suti nyeupe) wakati waliotembelea ofisi za Tume hiyo jana (jumanne januari 15, 2013).
Mjumbe wa Sekretarieti ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bi. Hanifa Masaninga (kushoto) akitoa ufafanuzi kuhusu mfumo uandaaji wa maoni ya wananchi katika taarifa rasmi (Hansard) kwa wafanyakazi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)wakiongozwa na Kaimu Katibu Mkuu, Bw. Jamanne Sagini (wa pili kushoto) wakati waliotembelea ofisi za Tume hiyo jana (jumanne januari 15, 2013).Picha Zote na Tume ya Katiba


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo