| Waziri wa Maji na Umwagiliaji
Profesa Jumanne Maghembe (katikati) akishirikiana na Waziri wa Maji na
Umwagiliaji wa Serikali ya Misri Prof. Dr. Mohamed Bahaa El-Din Ahmed
(kulia) kukata utepe kuashiria ufunguzi wa visima 30 katika maeneo ya
wilaya sita kame, Tanzania vilivyochimbwa kwa msaada wa serikali ya
Misri uliofanyika jana katika kijiji cha Mwanang'ombe wilayani Maswa
mkoani Simiyu. Kushoto kabisa ni Mhe. Pascal Mabiti ambaye ni mkuu wa
mkoa wa Simiyu. |