SERIKALI YAIPA MASAA 24 MELI IYOBEBA SHEHENA YA MAFUTA


SERIKALI IMEIPA MASAA 24 MELI AMBAYO IMEBEBA MAFUTA AMBAYO HAYAJATIMIZA KIWANGO CHAKE KWA MATUMIZI,KWA MUJIBU WA TBS NI KWAMBA MELI HIYO ILIZUILIWA KWA MARA YA KWANZA NA IKAPOTEA LAKINI BAADA YA MDA MFUPI IKAONEKANA TENA BANDARI YA DAR ES SALAAM.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo