Dada wa kazi za nyumbani wa
eneo la Tabata Barakuda aliyejiua jana saa moja usiku na bado chanzo
hakijulikani
Machela ya kubebea mwili wa
marehemu ilifika
Waliuingiza mwili wa mdada
huyu mwenzetu na kuondoka nae ambapo
blog hii itaendelea kuwajulisha taarifa kuhusiana na kile kilichomsibu
mdada huyu
Watu wakiuchungulia mwili wa
marehemu
Umati wa watu ulikusanyika
kujua nini chanzo
Hapa kazi yao ikiendelea ya
kuhoji wahusika
Maaskari Polis wa kituo cha
Rozana wakichukua maelezo
Chanzo:TZdadaZ