PINDA AZINDUA TOVUTI YA CHAMA CHA WAFANYAKAZI WA SERIKALI ZA MITAA

   Waziri mkuu Mizengo Pinda akiwasili kufungua mkutano mkuu wa Baraza la wafanyakazi wa serekali za mitaa Talgwu kushoto kwa waziri mkuu ni Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu Tawala za mikoa (Tamisemi) Mh Hawa Ghasia na kulia ni Mwenyekiti wa Talgwu Edna Mwaigomole mkutano huo unafanyika mkoani dodoma
   Mh Waziri mkuu Mizengo pinda amezindua Tovuti ya chama cha wafanyakazi wa wa serikali za mitaa kulia kwa waziri mkuu anaye shuhudia uzinduzi huo ni Mwenyekiti wa chama hicho Bibi Edna Mwaigomole na aliye vaa tai ni mtalamu wa kompyuta uzinduzi ume fanyika leo mjini Dodoma
 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiimba wimbo wa mshikamano kabla ya kuanza mkutano mkuu wa baraza la wafanya kazi wa serekali za mitaa Talgwu amabao una fanyika mjini Dodoma kushoto kwa waziri mkuu ni Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa( Tamisemi) Mh Hawa Ghasia nakulia kwa waziri mkuu ni mwenyekiti wa Talgwu Edna Mwaigomole pamoja naviongozi wengine
  Picha ya washriki pamoja na Waziri mkuu.Picha na Chris Mfinanga


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo