MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE AFUNGA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA AFYA YA UZAZI JIJINI ARUSHA

 Mke wa Rais na Mwenyikiti wa Taasisis ya WAMA ,Mama salma Kikwete (alievaa kitenge) akiogozana na watendaji wakuu wakielekea kwenye Ukumbi wa Mikutano wa AICC jijini Arusha jana.
 Mama Salma Kikwete akifurahia ngoma ya msanja ya kikundi cha akina mama huko Arusha.
  Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisisi ya WAMA , Mama Salma Kikwete akizungumza wakato akifunga kongamano la Kimataifa la Afya ya Uzazi la siku 3 Katika ukumbi wa mikutano ya kimataifa wa AICC mjini Arusha jana, Kongamano hilo lilewashirikisha wataalamu wa masuala ya afya ya uzazi wapatao 800 kutoka mataifa mbalimbali ulimwenguni.
 Waziri wa Wizara ya Afya Zanzibar,Dkt. Juma Haji Duni akiongea katika kongamano hilo jana mjini Arusha.kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Mh. Magesa Mulongo
Naibu Wazirii wa Afya,Dkt. Seif Rashid (Kulia) ,Waziri wa Afya Zanzibar,Dkt. Juma Haji Duni (kati) na Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Mh. Magesa Mulongo wakifuatilia Kongamano hilo.
 Baadhi ya wataalamu wa kongamano la Kimataifa la afya ya uzazi wakimsikiliza Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA , Mama Salma Kikwete (hayupo pichani wakati wa kufunga kongamano hilo Jana jijini Arusha, ambapo wataalamu wa masuala ya afya ya uzazi zaidi ya 800 kutoka ndani na nje ya nchi wamehudhuria.
Picha ya pamoja na watendaji wakuu wa kongamano la Kimataifa la Afya ya Uzazi.Picha zote na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo