MAWAKILI WA LULU WAWASILISHA MAOMBI YA DHAMANA MAHAKAMA KUU


Lulu 33 Wanasheria wa Lulu wawasilisha maombi
 ya dhamana
Mawakili wa muigizaji wa filamu nchini Elizabeth Michael Kimemeta aka Lulu, wamewasilisha maombi ya dhamana kwa mahakama kuu ya Tanzania.

Maombi hayo yametumwa wakati kesi ya Lulu aliyepo katika gereza la Segerea ikitegemewa kusikilizwa January 25 mbele ya jaji Zainab Mruke.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo