Hiki ni kituo cha mabasi mkoa wa Njombe ambacho endapo mvua ikinyesha inakuwa kero si kwa abiria tu bali kwa wafanyabiashara kituoni hapo pamoja na kwa magari yanayoingia na kutoka kituoni hapo
Hapa ni eneo la mabehewani wilayani Makete ambapo pamekuwa kero hasa kwa magari yanayoingia na kutoka eneo hilo hususana kipindi hiki cha mvua
Mhhhhhhhhh!




