HAWA NDIYO WAJUMBE WAPYA WA KAMATI YA SIASA WILAYA YA MAKETE

 Wajumbe wapya wa kamati ya siasa wilaya ya Makete mara baada ya kutangazwa hapo jana
 Mzee Nelson Mpalala akishukuru wajumbe kwa kumchagua
 Mama Janeth Nganyange naye akishukuru kuchaguliwa
 Bw. Emannuel Sanga akifurahia kuchaguliwa kuwa mjumbe wa kamati ya siasa wilaya
 Mwakilishi wa Sara Shembekeza akiwashukuru wajumbe badala ya Shembekeza ambaye alikuwa safarini kikazi
 Mh. Egnatio Mtawa mjumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Makete akiwashukuru wajumbe kumchagua
Mh.Naibu waziri wa maji na mbunge wa jimbo la Makete Dk. Binilith Mahenge akiwapongeza wajumbe hao na kuahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa wajumbe hao


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo