TASWIRA YA JIJINI ARUSHA BAADA YA LEMA KURUDISHIWA UBUNGE WAKE


 Baada ya Godbless Lema kushinda ubunge wake jijini dar es salam huko arusha ni furaha katika makundi mbalimbali,Vijana wamesimama katika makundi madogo madogo na wale waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wakipiga hono mji mzima ambapo watu maweacha kufanya shugulu zao na kujadili ushindi wa mbunge wa jimbo hilo la arusha mjini.hali ni shwari kabisa..
 Hapa ni eneo la wafanyabishara ndogondogo  almaarufu kama wamachinga wakiwa eneo la viwanja vya NMC
 Shamra shamra nyingi kwa kweli


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo