RUFAA YA KUPINGA USHINDI WA JOHN MNYIKA KUSIKILIZWA KESHO


Kesho tarehe 7 Disemba 2012 kuanzia saa 3 asubuhi rufaa ya kupinga ushindi wetu wa Ubunge Jimbo la Ubungo itaanza kusikilizwa na jopo la majaji watatu wa mahakama ya rufani. Kama tulivyotafuta kura pamoja, tukapanga mstari kupiga kura pamoja na tukakesha kuzilinda pamoja tujumuike pamoja kujua hatma ya kura zetu.

Kwa maelekezo au maelezo zaidi wasiliana na;
Aziz Himbuka (0784379542 au 0715379542)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo