MSHINDI WA MAISHA PLUS AKABIDHIWA MAMILIONI YAKE


Meneja wa Benki ya NMB, Tawi la Makao Makuu,  Benadicta Byabato (kushoto) akimkabidhi mshindi wa Maisha Plus Seasons 3  Bernick Kimiro kitita cha Shilingi Milioni 20 baada ya kuibuka mshindi katika shindano lililomalizika juma lililolipita jijini Dar es Salaam.
Bernick Kimiro akifungua akaunti NMB leo huku kaka yake  Abdulazizi Abasi (kushoto aliyesimama) na ofisa wa benki hiyo  wakifuatilia kwa makini


Mtoto Amarisa Sevuri akiwa ameshika kitita cha Bernick Kimiro na Rachel Ndauka ambaye ni rafiki yake na Bernick Kimiro


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo