IKIWA ni siku moja tangu Mbunge wa Jimbo la Ubungo
kupitia CHADEMA, John Mnyika ashinde kesi yake iliyokuwa ikipinga ubunge
wake, leo atafanya ziara kubwa katika Jimbo la Ubungo ndani ya Kata ya
MANZESE!
Ziara itanza majira ya saa 4 asubuhi ofisi ya kata (Kilimani), na hapo atafungua misingi maeneo ya mitaa ifuatayo; Kilimani, Chakula bora, Mvuleni, Midizini, Mwembeni na Mnazi mmoja.
Ziara itanza majira ya saa 4 asubuhi ofisi ya kata (Kilimani), na hapo atafungua misingi maeneo ya mitaa ifuatayo; Kilimani, Chakula bora, Mvuleni, Midizini, Mwembeni na Mnazi mmoja.
Vile vile kuanzia saa 10 alasiri atafanya Mkutano Mkubwa wa Hadhara
eneo la Mtaa wa Mnazi Mmoja (nyuma ya jengo la Msangi karibu na eneo la
kwa Mfuga Mbwa). Hoja: Ufisadi mkubwa TANESCO, URAFIKI, Maoni Katiba
Mpya!
Short URL:
http://www.thehabari.com/?p=25816