KAMERA YANGU WILAYANI MOSHI

Ajali hii ilitokea maeneo ya Marangu mtoni ikihusisha gari la Tanesco na Taxi


 Hii ni barabara ya Marangu hadi Rombo ambayo imejengwa kwa kiwango cha lami lakini wananchi wanaiomba serikali iweke haraka alama za barabarani
 Moja ya vifaa vya kukusanyia taka vilivyoko barabara ya Himo - Marangu ambavyo hutumika kutupia taka na kufanya eneo hilo kuwa safi


Picha tatu za juu zinaonesha kijana mmoja ambaye jina tunalihifadhi akiwa amelewa chakari pombe aina ya mbege aliyoinywa kwenye sherehe moja hivi, yaani noma hadi amejiko...........!


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo