CUF YAIVUNJA NGOME YA CCM!

Mwenyekiti wa CUF,Profesa Ibrahim Lipumba.  
---
CHAMA  cha Wananchi (CUF) Wilaya ya Liwale, Mkoa wa Lindi, kimevunja kambi iliyokuwa inategemewa na Chama Cha Mapinduzi ya Kijiji Cha Mkundi, kata  ya Makata baada ya wanachama wote wa tawi hilo kujiunga CUF.
Wanachama hao wapatao 310  wa kijiji hicho ambacho kilikuwa kinafahamika kwa jina la utani la Dodoma ikiwa na maana ya makao makuu ya chama  tawala walikabidhi kadi za CCM ili wakabidhiwe za CUF na Mjumbe wa Baraza la Ushauri  Taifa la CUF ambaye pia ni Mbunge wa Lindi Mjini, Salum Barwany.Kwa Habari zaidi Bofya na Endelea.......>>>>>


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo