TAZAMA JINSI MOTO KICHAA ULIVYOKIATHIRI KIJIJI CHA LUDIHANI WILAYANI MAKETE




Picha hizi zinaonesha jinsi moto ulivyounguza miti katika baadhi ya mashamba katika kijiji cha Ludihani wilayani Makete

Kwa mujibu wa taarifa alizozipata mwandishi wa mtandao huu, kutoka kwa afisa mtendaji wa kijiji hicho Dakta Mahenge ni kwamba umesababishwa na wakulima wanaoandaa mashamba yao katika kijiji hicho kwa ajili ya kilimo

Lakini pia amesema watu wengi hawana desturi ya kujitokeza kuzima moto pindi wanapoitwa kusaidia kuuzima

Kama kijiji, wametoa amri kuwa ni marufuku mtu kuanzisha moto kwenye mashamba bila kibali kutoka kwenye ofisi yake


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo