BAADA YA KUWASIMAMISHA KAZI WAKURUGENZI WA MALAKA YA BANDARI ATEMBELEA BANDARINI AWAFUNDA WAFANYAKAZI

 Waziri wa Uchukuzi,Harison Mwakyembe (aliyesimama) akisisitiza jambo kwa wafanyakazi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA),mchana huu,wakati akiwataka kuongeza ufanisi katika utendaji kazi wao.

Waziri wa Uchukuzi,Dkt. Harrison Mwakyembe (aliyevaa tai nyekundu),akimtambulisha Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari (aliyenyoosha mikono)Mhandisi Madeni Kipande,mchana huu alipotembelea Bandari hiyo.
 
Waziri wa Uchukuzi wa Uchukuzi amewasimamisha Maneja wa Bandari ya Dar es Salaam,Meneja wa Kurasini Oil Jet(KOJ),Meneja wa JET,Mhandisi wa kituo cha Mafuta(Oil Terminal Engineer),Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari(TPA),na Wakurugenzi Wakuu Wasaidizi wawili wa Mamlaka hiyo kupisha Uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinzoikabili Mamlaka hiyo. (Picha na RAHA ZA PWANI BLOG)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo