TASWIRA MBALIMBALI KATIKA TUKIO LA KIONGOZI WA MADAKTARI KUOKOTWA MABWE PANDE AKIWA HOI


Stephen Ulimboka akipakiwa katika gari la wagonjwa baada ya kutolewa katika chumba maalum cha uchunguzi  hospitalini Muhimbili  akipelekwa katika wodi ya  Moi.
Baadhi ya madaktari na manesi wakilisukuma gari la wagonjwa lililombeba Dk. Ulimboka kumpeleka Moi.
... Wakiwa nje ya mlango wa kuingilia katika chumba ambacho aliingizwa daktari huyo.…
Stephen Ulimboka akipakiwa katika gari la wagonjwa baada ya kutolewa katika chumba maalum cha uchunguzi  hospitalini Muhimbili  akipelekwa katika wodi ya  Moi.
Baadhi ya madaktari na manesi wakilisukuma gari la wagonjwa lililombeba Dk. Ulimboka kumpeleka Moi.
... Wakiwa nje ya mlango wa kuingilia katika chumba ambacho aliingizwa daktari huyo.
Baadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali  wakifuatilia tukio hilo.
Wauguzi na madaktari wakijadili tukio hilo.
Mkurugenzi wa Shirika la Haki za Binadamu, Hakika Kiria, akiongea na waandishi na madaktari.
Mwenyekiti wa Chama cha Madaktari  nchini (MAT), Namala Mkopi,  akitema cheche mbele ya waandishi na madaktari.

Katibu wa Chama cha Madaktari, Edwin Chitage, akiongelea tukio hilo.
Kiongozi wa madakitari nchini, Dk. Stephen Ulimboka, leo ameokotwa maeneo ya Mabwe Pande, Dar es Salaam, akiwa hoi baada ya kupigwa na watu wasiofahamika.
Kitendo hicho kilisababisha kusimama kabisa kwa huduma katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya madaktari, wauguzi na wahudumu wengine kukasirishwa na kitendo hicho.
Madaktari wameishtumu serikali na jeshi la polisi kwa kile walichokiita kushiriki katika jaribio la kumwua kiongozi wao.
                   (PICHA ZOTE ISSA MNALLY NA HAROUN SANCHAWA, GPL)                NA GLOBAL PUBLISHER


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo