![]() |
Hapo askari wakijaribu kuzuia raia wasivunje geti kuingia ndani kuwatoa wahalifu |
![]() |
Hata baada ya purukushani kutaka kuwaonyesha sura zao waligoma kufunua vitambaa hapo wameloa jasho na kukauka kwa kulia |
![]() |
Polisi walifanyikiwa kuwaingiza ndani ya gari chini ya ulinzi mkali na vurugu za wananchi waliokuwa wanarusha mawe. |
![]() |
Wananchi wakiwa ''wamepaniki'' |
PICHA NA HABARI KWA HISANI YA MARYGORETHRICHARD BLOG