SIKU YA KIFUA KIKUU DUNIANI


Wananchi wa wilaya ya Makete wameshauriwa kujitokeza kwa wingi kupima ugonjwa wa kifua kikuu ili waweze kupata tiba kwa kuwa ugonjwa huo hutibika iwapo itagundulika mapema

Hayo yamesemwa na mratibu mkuu wa kifua kikuu na ukoma wilayani Makete Dk. Imanuel Ngala alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake kuhusu maadhimisho ya siku ya kifua kikuu duniani yanayofanyika Machi 24 ya kila mwaka

Amesema maadhimisho hayo kwa mwaka huu yanatarajiwa kufanyika kitaifa mkoani Mtwara


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo