MECHI KATI YA BONGO MOVIE NA WANAMUZIKI WA DANSI YANUKIA

 
JUMAPILI YA TAREHE 5-2-2012 KUTAKUWA NA MECHI KALI BAINA YA WANAMUZIKI WA DANSI (BENDI ZOTE MF FM ACADEMIA, EXTRA BONGO, TWANGA PEPETA, MASHUJAA MUSICA NK) NA BONGO MOVIE WAKIWA WAMECHANGANYIKANA NA WACHEKESHAJI (COMEDIANS) KWENYE UWANJA MPYA WA TAIFA-.
 
NI MECHI YA HISANI KUCHANGIA WAHANGA WA MAFURIKO YALIYOTOKEA DAR ES SALAAM……TUNAOMBA TUUNGANE KATIKA HILI KWANI JAMII ILIYOPATWA NA ATHARI NI WATANZANIA WENZETU NASI
 
(HABARI KWA HISANI YA PRO-24)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo