KARIBU SANA KWENYE CHAMA CHETU

RAIS JAKAYA KIKWETE AMBAYE NI MWENYEKITI WA CCM TAIFA AKIMPONGEZA SHITAMBALA KWA KUJIUNGA NA CCM AKITOKEA CHADEMA

WAKATI HUO HUO......................................CHAMA cha demokrasia na maendeleo Chadema Mbeya mjini kimesema kuondoka kwa aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho mkoani hapa Sambwee Shitambala aliyetimkia CCM hakuwezi kukizorotesha chama badala yake kitachanua mara tatu zaidi.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo