Watu zaidi ya 15 wamenusurika kifo baada ya gari ya dogo la mizigo kugongana na daladala inayofanya safari zake kati ya Moshi mjini na Mwika mkoani Kilimanjaro katika eneo la Shaa Tours.
Hata hivyo majeruhi wote wamechukuliwa na kupelekwa Hospitali ya Mkoa ya Mawezi.
Hata hivyo jitihada za kumtafuta Kamanda wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro zinaendelea