Polisi yamshikilia askari wake anayedaiwa kumuua dereva bodaboda kwa risasi


Jeshi la Polisi, Mkoa wa Kipolisi Tarime Rorya, linamshikilia Askari wa Jeshi hilo, namba H.4489 PC Kaluletela wa Kituo cha Polisi Sirari, baada ya askari huyo kumfyatulia risasi mwananchi aitwaye Ng'ondi Marwa Masiaga (22), mkazi wa Mtaa wa Regoryo wilayani Tarime, mfanyabiashara wa bodaboda na kusababisha kifo chake.


Katika Taarifa iliyotolewa na Jeshi hilo, imesema askari huyo kwa uzembe wake mwenyewe, alimfyatulia risasi raia huyo asiyekuwa na hatia na kumjeruhi kwenye paja lake la mguu wa kulia.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo