Marekani kuishauri Tanzania kuhusu uendeshaji wa Bandari

Serikali ya Marekani kupitia Makamu wake wa Rais Kamala Harris ambaye yupo ziarani Tanzania imeahidi kutoa Huduma za Ushauri wa kitaalamu kuhusu Uendeshaji na Biashara ya Bandari (Port Transaction Advisory Services):


Programu hiyo inalenga kusaidia jitihada za Serikali ya Tanzania kutumia kikamilifu fursa za uwekezaji na kuvutia wawekezaji wa aina mbalimbali, kulinda uwekezaji wake wa kifedha na kuimarisha udhibiti wake, kama nchi huru, wa miundombinu hii muhimu.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo