Waziri Sagini aagiza dereva aliyekataa amri ya trafiki akamatwe


Naibu Waziri Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini, ameagiza kukamatwa na kuchukuliwa hatua kwa Dereva ambaye ameonekana katika kipande cha video akiendesha gari aina ya Nissan huku mbele kukiwa na Askari wa Usalama Barabarani akijaribu kumsimamisha


Amesema;

“Naagiza apelekwe kwenye Vyombo vya Dola na Leseni tuliyompa anyang’anywe kabisa. Haiwezekani Askari yupo Kazini anakuzuia wewe unampelekea Gari, nina wasiwasi na Akili za Madereva wetu sasa hivi, huyo lazima atakuwa na shida mahali.”


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo