Muumini akinukisha, ataka arudishiwe fedha zake za fungu la 10 alizotoa


Mwanaume mmoja kutoka nchini Nigeria, amelitaka kanisa lake kumrudishia pesa zote alizotoa kama fungu la kumi kwa miaka mingi akidai hana hamu tena ya kuingia mbinguni.


Kufuatia video yake mitandaoni mwanaume huyo ambaye alikuwa akiabudu kwenye kanisa la Dunamis International Gospel Centre, lililopo nchini humo,  amesema kuwa kwa miaka mingi, mchungaji wake amekuwa akitumia kitabu cha Mathayo 6:19 kumshawishi kuwekeza katika ufalme wa Mungu.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo