Mtoto mchanga aokotwa akiwa hai baada ya Kutupwa mibani

Mtoto mchanga ameokotwa Februari 5, 2023 Saa 3 usiku akiwa hai, baada ya kutupwa katika maeneo ya Fuoni Kigorofani, Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar.


Mtoto huyo anayedhaniwa kuzaliwa muda mfupi kabla ya kutupwa, amefikishwa Hospital Fuoni kwa ajili ya huduma.

"Sijajua kama ni wa kiume au kike, lakini hapa kaja Sheha na wamempeleka Polisi kisha kupelekwa Hospitali, katupwa hapa kwenye miti miba Fuoni Kigorofani huu upande wa pili utaona pana miti miba, nikaanza kusikia sauti kwa mbali ya mtoto, nilishtuka, nilipomuona baadaye wakaja watu wengi mana ni njiani kabisa, nilitamani nipewe Mimi awe wangu" Alisema Shuhuda Khamid  Waziri (De Gea).


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo