Madiwani wampigia Magoti Waziri Mkuu wakimuomba Lami

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe mkoani Songwe wakiongozwa na Mhe. Philipo Mulugo, Mbunge wa Jimbo la Songwe wamempigia magoti Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa wakimuomba ujenzi wa barabara kiwango cha lami kutoka Mbalizi - Mkwajuni - Patamela hadi Makongorosi.


Madiwani wameomba barabara ya lami wakati wa ziara ya siku moja aliyoifanya Waziri Mkuu Wilayani Songwe Februari 13, 2023.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo