Mashindano ya Taifa ya Mpira wa Kikapu “CRDB Bank Taifa Cup” 2022 yafunguliwa rasmi jijini Tanga

 
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba (katikati) akifurahi jambo na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa (wanne kulia) wakati wa ufunguzi rasmi wa Mashindano ya taifa ya mpira wa kikapu 2022 (CRDB Bank Taifa Cup), yaliyoanza  kwenye uwanja wa Bandari jijini Tanga na kilele chake kitakuwa Novemba 12, 2022. 
 
Mashindano haya yanaendelea kwa msimu wa tatu mfululizo ikiwa ni sehemu ya jitihada za Benki ya CRDB kuwawezesha vijana wa Kitanzania kupitia michezo, ambapo mshindi wa kwanza kwa timu za wanawake na wanaume katika mashindano haya ataondoka na kitita cha Shilingi Milioni 10 kila mmoja na washindi wa pili wataondoka na kitita cha Shilingi Milioni 5.  
 
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba akizngumza wakati wa ufunguzi rasmi wa Mashindano ya taifa ya mpira wa kikapu 2022 (CRDB Bank Taifa Cup), yaliyoanza kwenye uwanja wa Bandari jijini Tanga na kilele chake kitakuwa Novemba 12, 2022.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa Mashindano ya taifa ya mpira wa kikapu 2022 (CRDB Bank Taifa Cup), yaliyoanza  kwenye uwanja wa Bandari jijini Tanga na kilele chake kitakuwa Novemba 12, 2022.
Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Kaskazini, Chiku Issa akizngumza wakati wa ufunguzi rasmi wa Mashindano ya taifa ya mpira wa kikapu 2022 (CRDB Bank Taifa Cup), yaliyoanza kwenye uwanja wa Bandari jijini Tanga na kilele chake kitakuwa Novemba 12, 2022.
Makamu wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini (TBF), Rwehabura Barongo akizngumza wakati wa ufunguzi rasmi wa Mashindano ya taifa ya mpira wa kikapu 2022 (CRDB Bank Taifa Cup), yaliyoanza kwenye uwanja wa Bandari jijini Tanga na kilele chake kitakuwa Novemba 12, 2022.































 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo