Ibada ya kuwaaga marehemu wa ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Bukoba mkoani Kagera tayari imeanza.
Maombi hayo yanafanyika katika uwanja wa mpira wa miguu Bukoba kwa mujibu wa mkuu wa mkoa wa Kagera Albert Chalamila, na zoezi hilo linaongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Picha zote na Charles Mwabeya wa TBC



