Mwili wa Mwanahabari Michael Ngilangwa kutoka kituo cha Uplands FM radio Njombe, umezikwa leo Oktoba 24, 2022 kijijini kwao Itengule Malangali Mkoani Iringa
Safari yake ya mwisho hapo katika Kijiji Cha Itengule Malangali mkoani Iringa inafuatia kupoteza maisha Oktoba 22,2022 wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Kibena mkoani Njombe
Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa, jina lake Lihimidiwe