Mzee atupwa jela baada ya kumbaka mwanaye

Mzee wa miaka 64, Pascal Anatory ambaye mkazi wa kijiji cha Kinyariri kata ya Buhemba Wilaya ya Butiama mkoani Mara, amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mtoto wake wa kambo mwenye umri wa 14.


Mtoto huyo ambaye ni mwanafunzi wa darasa la sita katika moja ya shule ya msingi wilayani humo, anadai kufanyiwa vitendo hivyo mara tatu baada ya kufariki kwa mama yake ambaye alikuwa ni mke wa Pascal Anatory.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo