Jela miaka 10 kwa kumbaka mwanamke mwenye ugonjwa wa akili

Mahakama ya Shanzu katika kaunti ya Mombasa Kenya imemhukumu mwanamume mwenye umri wa miaka 21, kifungo cha miaka 10 gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mwanamke aliye na ugonjwa wa akili.

Katika hukumu yake, Hakimu Mkuu wa Mahakama ya Shanzu Yusuf Shikanda, alibainisha kuwa kitendo alichofanya Dickson Joshua dhidi ya mwanamke huyo mwenye ulemavu wa akili na asiye na hatia kilikuwa cha kinyama.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo