Rc Mtaka: Madiwani mnaolumbana Makete Endeleeni (Video)

 Mkuu wa mkoa wa Njombe Antony Mtaka amesema kwa sasa wao kama viongozi wanaangalia maendeleo ya wananchi na si vinginevyo huku akiwaonya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Makete wanaopenda malumbano kuendelea nayo na hata wakihitaji vyeti vya malumbano yeye yupo tayari kuwapa

Amesema mwaka 2025 madiwani hao watafika kwenye ofisi za Chama cha Mapinduzi kuchukua fomu za kugombea udiwani na si Uenyekiti wa Halmashauri hivyo kumtaka Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Makete William Makufwe kuendelea kuchapa kazi kwa manufaa ya wilaya hiyo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo