LIVE: Kuagwa Miili ya Maria na Consolata muda huu


Zoezi la kuaga miili ya Marehemu Maria na Consolata Mwakikuti linaendelea hivi sasa mjini Iringa kabla ya kwenda kuwazika katika kijiji cha Tosamaganga kata ya Kalenga mkoani Iringa

Zoezi la kuaga miili hiyo limezua vilio na simanzi miongoni mwa waombolezaji waliofurika kwa ajili ya safari ya mwisho ya mapacha hao


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo