Breaking news: Ajali mbaya yaua watu kadhaa Kigoma asubuhi hii




Ajali mbaya imetokea saa kumi na mbili asubuhi ya baada ya basi la Prince Hamida linalofanya safari zake kutoka Kigoma kwenda Nzega kugonga treni ya mizigo katika eneo la relini katika eneo Gungu, ambapo watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha.

 Juhudi za kuopoa miili ya watu walionasa ndani ya basi hilo zinaendelea zikiongozwa na vikosi vya jeshi la wananchi, na jeshi la polisi pamoja na wananchi.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo