Ukiacha Yanga, Hii ni Timu Nyingine kubwa inavyomtaka Adam Salamba

Afisa Habari wa Timu ya Lipuli ya Iringa Clement Sanga leo ametaja kilabu kingine kikubwa cha Tanzania kinachotaka kumsajili mchezaji wao Adam Salamba

Yanga ndio wa kwanza kuandikia barua klabu ya Lipuli kuonesha nia yao ya kumtaka mchezaji huyo, lakini kipo kilabu kingine tena kikubwa ambacho kimemtaka mchezaji huyo kwa barua

Tazama hapo chini, Clement Sanga akiongea


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo