Magari hayo yamekwama katika kijiji cha Tandala kabla ya kunasuliwa na mitambo ya mkandarasi anayejenga barabara hiyo kwa kiwango cha lami kutokana na magari hayo kukwama kwenye barabara mchepuko iliyotengenezwa na mkandarasi huyo
Zoezi la kunasua magari hayo limeanza saa 10 jioni na kumalizika saa moja jioni
Msaidizi wa Askofu Dayosisi ya Kusini Kati, Mch. Adili Pagalo akionja adha ya kukwama
Abiria wakishusha mizigo yao baada ya kukata tamaa ya kuendelea na safari
Basi la Mwafrika likivutwa majira ya saa moja Usiku ili linasuliwe kwenye mkwamo huo. Picha na Edwin Moshi wa Edmo Blog
















