Majonzi, Gari lagonga kijiwe cha Bodaboda, watu wafariki








Boko, Dar: Ajali mbaya yatokea baada ya Lori kukosa breki na kuvamia waendesha bodaboda na kupelekea vifo na majeruhi

Ajali mbaya imetokea Boko baada ya lori kufeli break muda huu.Inasadikika watu zaidi ya 10 wamefariki, bodaboda 20 zimesagwa, magari 10 yamegongwa.

Barabara ya Boko imefungwa na wananchi.

------------------- Update---------------
Watu wawili wamekufa na wengine saba kujeruhiwa baada ya lori la mchanga kuwagonga eneo la Boko Magengeni, Dar. RPC Kinondoni, Jumanne Murilo amethibitisha

#SourceJamiiForums


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo