Mwili wa marehemu Agness Gerald ‘Masogange’ umeshawekwa kwenye gari katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, tayari kwa safari ya kuelekea Leaders, Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuagwa. Masogange alifariki juzi Ijumaa katika Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge jijini Dar es Salaam.

Wananchi mbali wakiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi