Siku hizi upinzani umefilisika sana, ukitatua kero kubwa ya wananchi ikaisha watauliza "ntajie kifungu cha sheria kilichokupa uhalali wa kuwaondolea wananchi kero hiyo", kisha wataendelea mbele "tutajie mistari ya Quran na Biblia inayosema kero ile ilipasa kuondoka". Hopeless! pic.twitter.com/Tc2lf9kne7— Humphrey Polepole (@hpolepole) March 22, 2018
HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA JUNI 26, 2026
8 hours ago
