Nasubiri Mbowe anieleze uhalali wa yeye na waandamanaji wake walioandamana kinyume cha Sheria kuwapiga mawe na kuwajeruhi vikali askari wetu waliokuwa wamevalia sare zao na wakihakikisha usalama wa raia https://t.co/BPrHB03kEX— Humphrey Polepole (@hpolepole) March 4, 2018
Polepole: Nasubiri Mbowe na alioandamana nao anieleze kwa nini kawapiga Mawe askari wetu
By
Edmo Online
at
Sunday, March 04, 2018
