Picha: Lori la Viazi Latumbukia Korongoni Makete

 Lori hilo likionekana kwa mbali korongoni lilimotumbukia

 Wananchi wakiliangalia lori hilo baada ya ajali
Lori lililokuwa limebeba viazi limepata ajali juzi kwa kutumbukia Mtoni Barabara ya Ipelele Mbeya wilayani Makete mkoani Njombe 

Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo waliozungumza na Eddy Blog wamesema ajali hiyo imesababishwa na utelezi uliosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani hapo kabla ya kumshinda dereva na likapelekea kutumbukia mtoni

Korongo hilo ni refu kiasi cha kutoonekana vizuri kwa lori hilo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo