Bwana Gerevas Mwakyusa Diwani wa Chadema kata ya Legezamwendo, Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo, Mkoa wa Rukwa amejivua Udiwani na Uanachama wa CHADEMA na Kujiunga na CCM
Pamoja na wanachama wachadema zaidi ya 110 wamejivua uanachama wa Chadema na kujiunga na CCM.
Viongozi na wanachama hao wamepokelewa na Comrade. Humphrey Polepole Katibu Mwenezi wa CCM Taifa akiwa kwenye Mkutano wa ndani wa ujenzi wa Chama Wilaya ya Kalambo, Mkoa wa Rukwa.








